ZANZIBAR INAONGOZA KUNDI A Kikosi cha Kenya, Harambee Stars kimejipata taabani kwa mara nyingine baada ya kuambulia sare tasa dhidi ya Zanzibar, siku ya Jumamosi. Chini ya ukufunzi wa kocha mpya Paul Put, Stars imeshinda mechi moja tu huku wakiandikisha sare kwenye mechi mbili. Mabao ya Duncan Otieno na…
LIGI KUU UINGEREZA JUMAMOSI 15:00 Westham v Chelsea 18:00 Burnley v Watford Crystal palace v Bournemouth Huddersfield v Brighton Swansea v Westbrom Tottenham v Stoke 20:30 Newcastle v Leicester JUMAPILI 15:00 Southampton v Arsenal 17:15 Liverpool v Everton 19:30 Manchester United v Manchester City SERIE A ITALIA JUMAMOSI…
Round 6 Results TUESDAY, 05:12:17 AS Roma 1-0 Qarabag Barcelona 2-0 Sporting Bayern Munich 3-1 PSG Benfica 0-2 Basel Chelsea 1-1 Atletico Madrid Manchester United 2-1 CSKA Moscow Olympiakos 0-2 Juventus Celtic 0-1 Anderlecht WEDNESDAY, 06:12:17 FC Porto 5-2 Monaco Feyenoord 2-1 Napoli Liverpool 7-0 Spartak Moscow Maribor 1-1…
Timu ya taifa, Harambee Stars inashikilia uongozi wa Kundi A kwenye mechi zinazoendelea za CECAFA, baada ya kuinyuka Rwanda mabao mawili kwa nunge. Mechi hiyo ambayo ilifungua michuano hiyo rasmi, ilisakatwa kule Kakamega, kwenye uga wa Bukhungu. Masoud Juma aliipa Kenya bao la kwanza dakika ya ishirini na…
Man Utd 3 – 1 Arsenal It was an occasion when Manchester United demonstrated a remorseless edge in front of goal and yet could count goalkeeper David de Gea as their most influential player considering Arsenal had a far superior ball posession at 76%. And it was one when the…
ENGLISH PREMIER LEAGUE SATURDAY @3:30 PM Chelsea v Newcastle United @6:00 PM Brighton v Liverpool Everton v Huddersfield Leicester v Burnley Stoke v Swansea Watford v Tottenham WestBrom v Crystal Palace @8:30 PM Arsenal v Manchester United SUNDAY @4:30 PM Bournemouth v Southampton Manchester city v Westham FRENCH LIGUE 1…

