Jumapili, Oktoba mosi ilishuhudia ufunguzi wa nusu fainali ambapo bao Ali Hussein liliipeleka Egerton Njoro kwenye fainali baada ya mechi ngumu kupindukia dhidi ya Laikipia. Semi fainali ya pili iliambulia sare ya bao moja kati ya UoE na Maasai Mara baada ya Betto Hassan kusawazishia Maasai Mara kipindi cha…
Awamu ya kwanza ya michuano ya KUSA RIFT CONFERENCE ilikamilika hapo jana Oktoba mosi huku vyuo kadhaa vikidhihirisha weledi wao katika mchezo wa soka.Timu ziligawanywa katika vikundi viwili kundi A likichezea Annex kundi B likisakatia UoE. Kwenye timu za kiume, kundi A lilisheheni timu za Maasai Mara, Egerton Njoro, Kabarak…
LONDON — The loudest roar of these world track and field championships came on Saturday night as Usain Bolt lay face down on the track and in great pain. The roar had nothing to do with Bolt: It was a surprise British victory. After Bolt took the baton from his…

