Mlinzi wa Southampton Virgil Van Djik atajiunga na Liverpool mwezi Januari tarehe moja kwa rekodi ya paundi milioni sabini na tano (£75M). Nyota huyo wa Uholanzi alifaa kujiunga na The Reds mwezi Julai, ila uhamisho huo ukafeli baada ya kujulikana kuwa Liverpool haikufuata sheria katika kutaka kumsajili. Usajili huo…
Mshambulizi wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Tottenham Harry Kane, amevunja rekodi ya mabao thelathini na sita iliyowekwa na Alan Shearer miaka ishirini na mbili iliyopita. Shearer alifunga mabao hayo akiwa na klabu ya Blackburn Rovers mwaka wa 1995. Kane alifunga mabao matatu siku ya Jumanne…
One of my favourite rage topics (next to uber drivers and the lack of listening skills) is definitely punctuality. In private as well as in my professional life I do my very best to always be on time for meetings and dates. I am quite good at it – despite…
Action star’s xXx: Return Of Xander Cage and The Fate Of The Furious rake in $1.6bn worldwide Vin Diesel has beaten his Fast And Furious co-star Dwayne Johnson to be named this year’s top grossing actor. The action star’s latest addition to the xXx franchise, xXx: Return Of Xander Cage…
‘Like many cybercriminal schemes, numbers are crucial — bigger victim pools equate to potentially bigger profits‘, researchers say According to THE INDEPENDENT TECH, Cybercriminals are using Facebook Messenger to infect computers with malware that mines cryptocurrency. Security researchers the Trend Micro cyber security firm said “Digmine” is targeting as many…
Aliyekuwa kiungo mtengenezaji wa Arsenal na Borussia Dortmund, Tomas Rosicky amestaafu. Gwiji huyo aliyependwa sana kwa mchezo wake wa gusa niguse alitangaza kustaafu hiyo jana, katika maongezi na vyombo vya habari kule Jamhuri ya Czech. Rosicky alisema kuwa ameafikia uamuzi huo kwa kuwa umri wake wa miaka 37 haumruhusu…
Nokia 8 is the official technology partner for Stormzy’s new music video, capturing real moments throughout the day as part of its Unite For initiative. Nairobi, Kenya, December 19, 2017 –HMD Global has today announced that the Nokia 8 smartphone is the official technology partner of Stormzy’s highly anticipated music…
Aliyekuwa kiungo mshambulizi wa AC Milan na Real Madrid, Ricardo Izecsano dos Santos Leite almaarufu Kaka, ametundika dalugha. Kaka aliandika ujumbe wa kustaafu kwake kwenye ukurasa wake wa Instagram, mapema leo. Nyota huyo amestaafu akiwa na umri wa miaka thelathini na tano, huku akijivunia rekodi nzuri ya…
Timu ya taifa Harambee Stars ndio mabingwa wa kombe la CECAFA mwaka huu baada ya kuicharaza na kuilabua Zanzibar, mabao matatu kwa mawili kwenye fainali. Mechi hiyo iliyogaragazwa kule Machakos, ilizua mchecheto na mhemko si haba, hadi dakika ya mwisho. Kenya ilikuwa ya kwanza kupata bao kupitia kwa…
Peter Wanyaga Muthoka has been appointed the new Chancellor of Masinde Muliro University of Science and Technology, replacing retired President Mwai Kibaki. In a special gazette notice dated December 14, President Uhuru Kenyatta said the appointment is effective Friday for a five-year term. Dr Muthoka, not related to renown businessman…

