Campus Radio Kenya
  • Home
  • Shows
    • Shows
    • Broadcasts
    • Schedule
  • Blog
  • Features
    • Service Plus
    • Gallery
  • About
    • Our Mission
  • Contacts

Sports

Campus Radio Kenya
  • Home
  • Shows
    • Shows
    • Broadcasts
    • Schedule
  • Blog
  • Features
    • Service Plus
    • Gallery
  • About
    • Our Mission
  • Contacts
December 15, 2017 0Comments 0Likes

CECAFA 2017: KENYA KUCHUANA NA ZANZIBAR KWENYE FAINALI; JUMAPILI

  The Minnows ya Zanzibar imejikatia tikiti ya fainali hii leo, baada ya kuicharaza Uganda Cranes mabao mawili kwa moja. Mechi hiyo iligaragazwa katika uga wa Moi kule Kisumu.   Abdulazziz Makame alikuwa wa kwanza kucheka na wavu kwa upande wa Zanzibar kunako dakika ya ishirini na mbili, kabla ya…

Read more
December 15, 2017 0Comments 0Likes
December 13, 2017 0Comments 0Likes

WAZITO FC YAILAZA RANGERS KUTWAA JAMHURI CUP

    Klabu ya Wazito iliyopandishwa daraja majuzi iliishangaza Rangers  siku ya Jumanne, baada ya kuirindima bao moja kwa nunge. Mechi hiyo ilisakatwa katika uga wa Moi Sports Centre; Kasarani katika sherehe za Jamhuri. Aliyekuwa mshambulizi wa Tusker John Mabia alifunga bao hilo muhimu baada ya kuingizwa kama nguvu mpya.…

Read more
December 13, 2017 0Comments 0Likes
December 12, 2017 5Comments 0Likes

TUSKER FOOTBALL CLUB TRIALS

    Official Tusker FC FROM: TUSKER FOOTBALL CLUB 8th December, 2017 RE: TUSKER FOOTBALL CLUB TRIALS   Tusker FC will be conducting a three day trial exercise aimed at recruiting new players ahead of the team’s 2018 campaign. The player selection and trials will be conducted at the club’s…

Read more
December 12, 2017 5Comments 0Likes
December 11, 2017 0Comments 0Likes

DROO YA KOMBE LA MABINGWA NA LIGI YA EUROPA YAZINDULIWA

  Droo ya Kombe la klabu bingwa iliandaliwa leo alasiri huku kipute babu kubwa kikisubiriwa kati ya Real Madrid ya Uhispania na Paris Saint Germain ya Ufaransa.   Chelsea ya Uingereza inakabiliwa na mtihani mgumu dhidi ya Barcelona ya Uhispania huku Tottenham ikitifua kivumbi dhidi ya Juventus.   Timu ya…

Read more
December 11, 2017 0Comments 0Likes
December 10, 2017 0Comments 0Likes

CECAFA 2017: WASIWASI KWA HARAMBEE STARS HUKU ZANZIBAR IKIFUZU

ZANZIBAR INAONGOZA KUNDI A   Kikosi cha Kenya, Harambee Stars kimejipata taabani kwa mara nyingine baada ya kuambulia sare tasa dhidi ya Zanzibar, siku ya Jumamosi. Chini ya ukufunzi wa kocha mpya Paul Put, Stars imeshinda mechi moja tu huku wakiandikisha sare kwenye mechi mbili. Mabao ya Duncan Otieno na…

Read more
December 10, 2017 0Comments 0Likes
December 9, 2017 0Comments 0Likes

MECHI ZA WIKENDI KUTOKA LIGI TANO KUU ;BARA UROPA

  LIGI KUU UINGEREZA JUMAMOSI 15:00 Westham v Chelsea 18:00 Burnley v Watford Crystal palace v Bournemouth Huddersfield v Brighton Swansea v Westbrom Tottenham v Stoke 20:30 Newcastle v Leicester JUMAPILI 15:00 Southampton v Arsenal 17:15 Liverpool v Everton 19:30 Manchester United v Manchester City   SERIE A ITALIA JUMAMOSI…

Read more
December 9, 2017 0Comments 0Likes
December 7, 2017 0Comments 0Likes

FIVE ENGLISH TEAMS QUALIFY AFTER FINAL GROUP STAGE MATCHES

Round 6 Results TUESDAY, 05:12:17 AS Roma 1-0 Qarabag Barcelona 2-0 Sporting Bayern Munich 3-1 PSG Benfica 0-2 Basel Chelsea 1-1 Atletico Madrid Manchester United 2-1 CSKA Moscow Olympiakos 0-2 Juventus Celtic 0-1 Anderlecht   WEDNESDAY, 06:12:17 FC Porto 5-2 Monaco Feyenoord 2-1 Napoli Liverpool 7-0 Spartak Moscow Maribor 1-1…

Read more
December 7, 2017 0Comments 0Likes
December 4, 2017 0Comments 0Likes

CECAFA 2017: KENYA YAONGOZA KUNDI A HUKU UGANDA WAKIANZA VIBAYA

  Timu ya taifa, Harambee Stars inashikilia uongozi wa Kundi A kwenye mechi zinazoendelea za CECAFA, baada ya kuinyuka Rwanda mabao mawili kwa nunge. Mechi hiyo ambayo ilifungua michuano hiyo rasmi, ilisakatwa kule Kakamega, kwenye uga wa Bukhungu.   Masoud Juma aliipa Kenya bao la kwanza dakika ya ishirini na…

Read more
December 4, 2017 0Comments 0Likes
December 3, 2017 0Comments 0Likes

Man-U, Liverpool Thrash Competition

Man Utd 3 – 1 Arsenal It was an occasion when Manchester United demonstrated a remorseless edge in front of goal and yet could count goalkeeper David de Gea as their most influential player considering Arsenal had a far superior ball posession at 76%. And it was one when the…

Read more
December 3, 2017 0Comments 0Likes
December 2, 2017 0Comments 0Likes

ARSENAL VS MANCHESTER UNITED ; AND OTHER FIXTURES

ENGLISH PREMIER LEAGUE SATURDAY @3:30 PM Chelsea v Newcastle United @6:00 PM Brighton v Liverpool Everton v Huddersfield Leicester v Burnley Stoke v Swansea Watford v Tottenham WestBrom v Crystal Palace @8:30 PM Arsenal v Manchester United SUNDAY @4:30 PM Bournemouth v Southampton Manchester city v Westham FRENCH LIGUE 1…

Read more
December 2, 2017 0Comments 0Likes

Posts navigation

< Page 1 … Page 4 Page 5 Page 6 Page 7 Page 8 Page 9 >
Listen Live!
https://stream.zenolive.com/mayn36v1v8quv.mp3
Search
Podcast of the Week
Podcast of the Week
About This Radio

We are music people. Just like you. This radio is a mirror of our souls. Our mission is to search out and expose great new music to people who otherwise may never encounter it. So please enjoy our vibes, cause our music never ends.

Copyright © 2026 by College Media Group Ltd. All rights reserved.