Vijana wa Marshalls waachiwa kivumbi na wazee waliosheheni uzoefu katika debi ya “funga-nifunge” Hali ilikuwa si hali Jumamosi ya tarehe tatu pale Pavilion, baada ya mibabe wa zamani kuwafunza kandanda vijana chipukizi wa Marshalls. Kipute hicho kilichosubiriwa kwa hamu na hamumu, kilishuhudia halaiki ya mashabiki kutoka bewa kuu la Chuo…
Vincent, Edwin, Walter and Kimani were all on the scoresheet, as Sharks gave the Kesses men a high-five on Friday. SkyLax who topped the provincial league last season, did not manage to get over Sharks at home, with their defence proving porous. SkyLax who are set to feature in Division Two…
Klabu ya Sharks inayoshiriki ligi ya Chuo Kikuu cha Moi, iliibetua, ikaiburura na kuilaza timu kuu ya chuo hicho, Field Marshalls mabao matatu kwa mawili, ugani Upperhill. Mechi hiyo ambayo kwa kawaida huzua mhemko mahasidi hao wanapogaragazana, ilishuhudia ubabe wa aina yake huku refarii Euro akipongezwa kwa maamuzi ya…
Moi University men showcased huge talent against the Division Two side Division Two side Huruma United had a tough time handling Moi University school team alias Field Marshalls, in a friendly held in Huruma on Sunday. The Eldoret based team began the match on a high note with their lone…
Gor iliilaza Ingwe bao moja kwa nunge na kutwaa taji hilo Kocha wa Gor Mahia Dylan Kerr amemmiminia sifa nahodha wa kikosi chake Harun Shakava, kwa kuonyesha mchezo mwema siku ya Jumapili alipoifungua K’Ogalo bao la ushindi. Itakumbukwa kuwa Shakava aliteuliwa kama nahodha baada ya Musa Mohammed…
Enthralling Action as Moi University Field Marshalls showcase talent despite defeat National Super League Side; GFE 105 thrashed Moi University school team 4-2 in a thrilling match played at 64 Stadium, Eldoret on Thursday. The match which ended in a 1-1 draw in the first half, kicked off with…
Samuel Muchai of Paralympics scoops Sports Personality of the Year The 2018 Soya Awards were held glamorously, in an event that took place at KICC, Nairobi. The event is held annually to reward various sports personalities that flew the Kenyan flag high throughout the previous year. A majority of young…
“PAMZO” Anyakua Kago na Misiko Klabu ya Posta Rangers inayoshiriki ligi Ku nchini imevamia mabingwa wa 2016 Tusker, na kusajili kiungo wa kati Luis Misiko. Misiko ametia sahihi mkataba wa miaka mitatu na klabu hiyo ambayo ilimaliza ya nne, msimu uliopita. Misiko atajumuika na aliyekuwa mchezaji-mwenza kule Tusker, Danson…
Mshambulizi wa timu ya taifa ya Harambee Stars na klabu ya Girona, Michael Olunga ameandikisha historia hii leo baada ya kuwa Mkenya wa kwanza kufunga bao kwenye ligi ya Uhispania Laliga. Aidha, Olunga almaarufu “Engineer ” amekuwa mchezaji wa kwanza wa klabu hiyo ya Girona kufunga mabao matatu kwenye mechi moja. Itakumbukwa…
Miamba wa Laliga Uhispania, Barcelona wamefanikiwa kumpata Philippe Coutinho kutoka Liverpool kwa rekodi ya Euro milioni mia moja sitini (€100M). Barca wamempata nyota huyo baada ya muda mrefu wa kutuma maombi yaliyokataliwa. Kipindi kilichopita cha uhamisho, kilishuhudia uhamisho wa Coutinho ukigonga mwamba dakika za lala salama, baada ya Liverpool…

